Maua Sama Afananishwa na Darasa
Mwanadada Maua Sama ambae kwa sasa amekuwa habari ya mjini kwa wimbo wake wa Iokote anafananishwa na Darasa baada ya wimbo wke huo ku-trend sana kila mahali na hata nje ya nchi huku watu wakipata wasiwasi kuwa isije kuwa kama alivyopotea darasa baada ya kutoa wimbo wa muziki na kisha kuwaancha mashabiki na kiu ya muziki wake.
Ikumbukwe kuwa Darasa alianza taratibu katika muziki na hata baadae kutoa wimbo ambao ulikuwa kama wimbo wa taifa na kupendwa na mashabii wote lakini baada ya muda mchache wimbo huo kufanya vizuri mashabiki walitegemea kuwa Darasa atatoa nyimbo nyingine nzuri kuliko hiyo lakii cha ajabu alikatisha mapenzi ya mashabiki baada ya kupotea abisa.
Ujumbe kwa Maua Sama ni kwamba mashabiki hawataki kuangushwa kama inavyotokea kwa wasanii wengine wenye mfano kama darasa, wanachotaka ni burudani na uwepo wako katika game.