Mc Pilipili Atoa Onyo Kali Kwa Wanaommendea Mchumba Wake

Mchekeshaji MC Pilipili amefunguka na kuwamwagia Povu zito wanaume wote ambao watakuwa wanamnyemelea Mpenzi Wake Philomena Thadey ‘Mina’.

Siku chache zilizopita Mc Pilipili alitengeneza headlines Baada ya kuangua kilio wakati anamvalisha pete Mpenzi Wake ambapo alisema ilikuwa ni Furaha.

download latest music    

Lakini siku chache Baada ya tukio hilo Mc Pilipili amewatolea Povu wanaume wakware wote ambao wameanza kumtolea macho mpenzi wake Baada ya kuona amemgharamikia ikiwemo kutoa mahari  ya milioni 8.

Kupitia ukurasa wake wa Instagram, Mc pilipili ameweka video hii ambayo amewatahadharisha ambao walikuwa wanammendea mchumba Wake:

https://www.instagram.com/p/BsV-GpOgF2f/?utm_source=ig_share_sheet&igshid=1xmhvk6r5v53q

About this writer:

Diana

I am a hard working young woman Aspiring writer with dreams larger than life itself, always living by the principle that live today like there is no tomorrow.