Meneja Wa WCB toa Tamko kuhusu EP Ya Harmonize

Meneja wa WCB Sallam K amefunguka na kusema kuwa ile album ya Harmonize ambayo ilitangazwa kutoka hivi karibuni huku ikitazamiwa kuwa ni wiki hii haitatoka tena mpaka wiki ijayo kwa sababu za mashabiki na mipango ya kibiashara.

Meneja huyo amesema kuwa wameamua uplea mbele swala hilo kwa sababu wanataa pale inapotoka iwe ina uwezo wa kuwafikia mashabiki owte bila kubagua , hivyo wanajaribu  kutengeneza mazingira ya matabaka yote uweza uipata EP hiyo.

download latest music    

Hata hivyo sallam k anasema kuwa wameamua kufanya hivyo kwa sababu kama kiwanda lazima kuwe na uataratibu mzuri wa kuuza na kusambaza bidhaa zao kwa watumiaji.

Hata hivyo kucheewa kwa kutoa kwa EP hiyo kumezua mambo mengi ikiwepo la usema kuwa Harmonize hayupo tena katika Lebo hiyo na ndio maana swala hili limekuwa gumu kitu ambacho wao wenyewe wanakanusha na kusema sio kweli.

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.