Mfahamu Cassie Kabwita , Mwanadada Alietaka Kuchora Tatoo ya jina la Kajala

Mwanadada Cassie Kabitwa kutoka nchini Zambia ni moja ya wasanii waaofanya vizuri katika maigizo nchini humo huku kwa hapa tanzania akiwa ni rafii mkubwa wa masnii Kajala Masanja.Kajala na cassie walishafanya kazi nyingi pamoja na wamekuwa na urafiki mkubwa hata wa kuwa kama mtu na dada yae kutokana na ukaribu wao huo.

Cassie  anasema kuwa amekuwa akimpenda sana Kajala kiasi kwamba alitaka kuchora tatoo yenye jina la kajala lakini hakuruhusiwa na Kajala mwenyewe baada ya msanii huyo kumkalisha chini Kajala na kumwambia hasara za kuchora tattoo mwilini.

download latest music    

Cassie anasema , hakuona ajabu kuchora tattoo kuonyesha mapenzi kwa rafiki yake huo ambae kwa sasa amekuwa kama dada, lakini kajala nae hakutaka kuonyesha mapenzi ya kinafiki kwa kutaka kuchorwa tattoo ilhali anajua hasara za tattoo hivyo alikaa nae chini na kumuelezea swala hilo na waliweza kuelewana kabisa.

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.