Mh Makonda Atia Neno Mahusiano ya Lulu Michael.

Mh mkuu wa mkoa wa Dar es salaam Paul Makonda amefunguka na kuongelea mahusiano ya mwanadada lulu michael na mpenzi wake majizo hasa katika kila hatua wanayoipiga wawili hao ikiwa ni hatua kubwa kuelekea kufunga ndoa.

Ikumbukwe kuwa Majizo na Lulu wamekuwa wapenzi wa muda mrefu lakini hata baada ya Makonda kutangaza kuwa kama mwanaume huyo hatotaka kumuoa lulu  basi atamfunga,.

download latest music    

Katka ukurasa wake Paul Makonda aliandikahaya baada ya wiki iliyopita mwanadada huyo kutolewa mahali na mume wake huyo mtarajiwa “mafanikio yenu yanabeba watu wengi na katika kila hatua mnaonekana kuwa hamtanii,basi Mungu wangu akawaonyesha njia mfikeie mafanikio mpate kuwa msaada kwa wengine”

Mpaka sasa wawili hao wamesgafiki hatua nzuri ya kufikia ndoa yao.

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.