Mkali Wenu Ajitangaza Kuwa Bikra
Msanii wa maigizo ya vichekesho nchini , mkali wenu amejitangaza kuwa yeye ni bikra na hajawahi kabisa kujihusisha na maswala la mahusiano wala tendo la ndo aktika maisha yake yote.Mkali wenu anasema kuwa ingawa watu wengi hawatambui na wala hawataamini hilo lakini ukweli uatabaki kuwa pale pale kuwa yeye yuko hivyo kwa muda mrefu.
Mkali wenu anasema kuwa so kwamba amekuwa na matatizo yoyote lakini amekuwa akipata hisia ambazo humfanya kutamani kufanya tendo la ndoa lkini amekuwa akijizuia kwa sababu anataka kuja kujisifia na kuiambia familia yake kuwa hata yeye alijitunza sana kwa ajili ya familia yake pia.
Mkali wenu anasemakuwa swal kubwa lilomfanya mpaka kuwa hivyo ni baada ya wanawake wengi sana kuwa wanamkataa huko nyuma na ndio maana aliamua kukata tamaa.