Monalisa Amefungukia Video Ya Kajala na Mwanaye

Msanii mkongwe wa Filamu za Bongo movie Yvonne Cherry maarufu kama Monalisa amefunguka na kupima uzito video ya Kajala na Mtoto Wake Paula.

Siku chache zilizopita and Kajala na binti yake wa miaka 16 Paula walitengeneza headlines Baada ya video yao iliyowaonyesha wakikata mauno kusambaa kwenye Mitandao ya kijamii.

download latest music    

Monalisa ambaye ana ukaribu na Kajala Lakini pia Watoto wao wamesoma wote amefungukia Sakata hilo na kusema kuwa haoni tatizo mama kucheza na Mtoto wake.

Kwenye mahojiano aliyofanya mtandao wa Millard Ayo, Monalisa amedai kuwa pamoja na kwamba hajaiona video hiyo Lakini pia hajaona tatizo Kama ni mama tu anacheza na Mtoto Wake.

About this writer:

Diana

I am a hard working young woman Aspiring writer with dreams larger than life itself, always living by the principle that live today like there is no tomorrow.