Namshukuru Mwanangu Kufanana na Mimi, Amenistiri :-Ray

Msanii wa maigizo nchii ray kigosi  anasema kuwa ansshukuru sana baada ya mtoto wake kufanana sana na yeye kuliko mama yake kwa sababu kama mtoto angefanana sana na mama yake basi inawezekana watu wangeanza kusema kuwa  ameibiwa mtoto.

ray anasema kuwa walimwengu wamekuwa ni watu wa kusema maneno mengi sana kiasi kwamba wamekuwa wakisema maneno mengine bila kujua kuwa yanapomfikia mlengwa yanaweza kumuumiza kiasi gani.

download latest music    

walimwengu bhana wamekuwa watu wa ajabu sana, ingetokea kuwa mtoto kafuata kwa mama  bila kufuata kwangu wangesema kuwa huyo mtoto sio wangu  na yangeibuka mengi sana,Namshukuru mungu mwanangu kafuata kwangu amenifichia maneno mengi sana kufanana na mimi Jaden –Alisema Ray

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.