Nandy: Siyo Sahihi Kujirekodi Ukiwa Mtupu

Mwanamuziki wa Bongo fleva Nandy amefunguka a kuweka wazi kuwa kuvuja kwa video yake ya mahaba chumbani na aliyekuwa mpenzi wake Bilnass imemfunza mambo mengi ikiwemo sio vyema kujirekodi ukiwa uchi.

Sakata hili lilimkuta Nandy wiki iliyopita baada ya video yake akiwa chumbani na mpenzi wake Billnas wakiwa wamevaa nguo za ndani huku wakiwa nikaona ya kimahaba kuvuja mtandaoni na kusababisha tafrani.

download latest music    

Nandy amefungukia majuto yake kwenye mkutano na waandishi wa habari aliofanya alipotoka katika ofisi za mamlaka ya mawasiliano Tanzania na kuweka wazi kuwa amejutia sana kitendo hiko na sasa yupo tayari kushirikiana na serikali kwa ajili ya kutoa elimu kwa watu:

Nipo Tayari kushirikiana na serikali kwa hilo lililotokea na kuelimisha wasanii, wanafunzi na jamii kwa ujumla najua watu wengi wanapitia hatua kama hizi na wengine hata hawajulikani lakini kwa kuwa limetokea kwangu Ilan najua kuna watu wengine wamefanya mambo kama haya na video zimeenda mitandaoni bila idhini yao”.

 

About this writer:

Diana

I am a hard working young woman Aspiring writer with dreams larger than life itself, always living by the principle that live today like there is no tomorrow.