Natamani Kuwa Mkuu Wa Wilaya Ya Igunga- Shilole

Msanii wa Bongo fleva Zuwena Mohamed maarufu kwa Jina la usanii kama Shilole amefunguka na kudai na kuwa anatamani kuwa mkuu wa Wilaya ya Igunga.

Shilole ambaye ni Msanii na mfanyabiashara amedaiwa kutokana na kwamba anakubalika sana katika jamiii anaona kuwa atafaa kuwa kiongozi wa watu wake wa Igunga.

download latest music    

Shilole amefunguka hayo Kwenye mahojiano na Millard Ayo Tv ambapo ametiririka haya:

Natamani sana siku moja nikawe kiongozi kwetu Igunga nikapate kuweza kuiongoza Wilaya yangu na natamani sana Igunga ikawa jiji tena kwa sababu nimetoka nayo mbali hata kama nisipokuwa Mkuu wa Wilaya nataka kuwa hata diwani”.

Lakini pia Shilole amefunguka na kuweka wazi kuwa pamoja na kwamba sio kiongozi kwa sasa lakini ameshafanya mambo mengi Igunga ikiwemo ameitangaza na kila mtu anapajua Igunga.

 

About this writer:

Diana

I am a hard working young woman Aspiring writer with dreams larger than life itself, always living by the principle that live today like there is no tomorrow.