Ndoa ya Mc Pilipili Kufanyikia Uwanja wa Taifa

Ndoa ya moja ya wachekeshaji maarufu nchii Mc pilipili yategemewa kufanyka uwanja wa taifa kama inavyoripotiwa na yeye mwenyewe alipokuwa akiongea na waandishi wa habari.

Akiongea na waandishi, Mc plipili anasema kuwa ndoa hiyo ambayo iko karibu inawagahrimu sana kufikiria sehemu nzuri na kubwa ya kufanyia ukizingatia kuwa wanategemea kuwa na watu wengi hivyo kutafuta ukumbi mkubwa kwa ajili  yake.

download latest music    

Mc pilipili anasema kuwa mpaka sasa wamekuwa wakizunguka kwa ajili ya kutafuta ukumbi wa kufanyia harusi hiyo lakini bado hawajapata lakini kati ya sehemu wanazopendekeza ni uwanja wa taifa.

Anasema “mimi na kamati bado tunaangalia sherehe tuifanyie wapi, nimejaribu kuuliza kati ya uwanja wa taifa, uwanja wa Uhuru  na leaders , lakini pia tunaangalia na mlimani city.

 

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.