Ne-Yo amjumuisha Diamond kwenye tour yake ya Uingereza

Diamond atajiunga na Ne-Yo kwenye ziara yake ya kimuziki nchini Uingereza ambayo itaanza rasmi Septemba 13 jijini Manchester.

Mastaa hao wawili wamefanya kazi kimuziki pamoja awali, walishirikiana kuwachia wimbo ‘Marry You’ mapema Februari mwaka huu.

download latest music    

Ne-Yo alihairisha tour yake mara mbili baada ya kutokea mashambulizi ya kigaidi jijini Manchester nchini Uingereza.

Staa huyo wa Marekani sasa amethibitisha tour hio ya Uingereza na kutoa ratiba yake kamili inayoonyesha wapi na lini atakua.

Tazama wimbo wa Ne-Yo na Diamond hapo chini:

About this writer:

Martin Oduor

Ultimate keyboard ninja dedicated to bringing you the juiciest stories on blogosphere