Ney wa Mitego Afunguka Tetesi za Uchawi wa Kumwagia Maji Mashabiki

Nay wa mitego amekuwa akiwaacha mashabiki mdomo wazi siku za hivi karibuni baada ya kubuni mbinu kpya ya kuwamwagia maji mashabiki wake  anapokuwa jukwaani kwa nia ya kusema kuwa anawachangamsha mashabiki wake.

Hata hivyo Ney wa mitego amefunguka na kukanusha juu ya nguvu ya maji hayo kuwa ni ya kishirikina na kwamba amekuwa akifanya hivyo kwa ajili ya kuwachangamsha watu ambao wamekuwa wakija kwenye show zake na wala sio kama watu wanavyosema kuwa ni uchawi.

download latest music    

jamani mimi sio mshirikina na wala siawahi kujihusisha na mambo hayo , yale majin ni ya kawaida tu na wala hayana madhara yoyote kwa mtu yoyote  kwani ninaweza kumpa mtu akanywa, mimi nimekuwa nikiyatumia tu kwa ajili kuwachangamsha mashabiki wangu.

Nay anasema kuwa amekuwa akisumbuliwa na tetesi za kutumia uchawi anapokuwa jukwaanu lakini ukweli ni kwamna nyimbo zake zimekuwa zikigusa maisha ya kawaida ya jamii.

 

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.