“Nilikuwa Napenda Kwenda Kuvua Samaki”-Wastara

Msanii wa filamu za Bongo movie Wastara Juma maarufu kama Wastara Sajuki amefunguka na kuweka wazi kuwa alipokuwa mdogo tabia yake mbaya ilikuwa kupenda kuvua samaki.

Katika mahojiano aliyofanya na Gazeti la Ijumaa Wikienda, Wastara alisema enzi hizo alipenda sana kucheza kwenye mito na mara nyingi alikuwa akiwashawishi watoto wa mtaani kwao, huko Morogoro kwenda kuogelea na kuvua samaki, kitendo kilichokuwa kinawakera sana wazazi wa watoto hao.

download latest music    

Ukweli niliwasum¬bua sana wazazi hasa wa watoto wengine kwani wapo ambao walikuwa hawap¬endi watoto wao kuvuka eneo la nyumbani lakini mimi nilikuwa nikiwashawishi tunakwenda mtoni na tuna¬vua samaki wakubwa na wadogo”.

Lakini pia Wastara aliweka wazi kuwa mbali na kuvua samaki Lakini pia alikuwa anapendeleea kwenda maporini kuangalia wanyama kama ngedere.

About this writer:

Diana

I am a hard working young woman Aspiring writer with dreams larger than life itself, always living by the principle that live today like there is no tomorrow.