“Nimeshakuwa na Wanawake Wengi Lakini Kwako Nimefika”-Barakah The Prince

Msanii wa muziki wa Bongo fleva nchini Barakah The Prince amefunguka maneno mazito kwa Mpenzi Wake Najma Dattan ‘Naj’ alipokuwa anasheherekea siku yake ya kuzaliwa.

download latest music    

Barakah na Naj walirudiana hivi karibuni Baada ya kuachana kwa muda mrefu Baada ya skendo za Barakah kuchepuka na wanawake kadhaa ikiwemo kudaiwa kumpa ujauzito mwanamke mwingine.

Barakah ameibuka na kumuandikia maneno mazito mpenzi wake Naj alipokuwa anasheherekea siku yake kuzaliwa ambapo kupitia ukurasa wake wa Instagram Barakah ameandika:

https://www.instagram.com/p/BqICJWHhmtD/?utm_source=ig_share_sheet&igshid=tqsimrf2rgqe

About this writer:

Diana

I am a hard working young woman Aspiring writer with dreams larger than life itself, always living by the principle that live today like there is no tomorrow.