Ninachojua Mungu Anakupenda Sana :-Maneno ya Muna kwa Wema

Imekuwa ikizoeleka kwa sisi binadamu kuwa mwenzako  anapopatwa na jambo  basi inakuwa ndio njia ya kumkomesha na kufurahia mapito yake, lakini hii imekuwa tofauti kwa wema na muna ambao pamoja na kwamba wamekuwa hawaongea kwa muda sasa lakini inapoteokea mmoja wao anapatwa na tatizo basi mwingine anatokea na kumpa maneno ya faraja mwingine.

Baada ya siku iliyopita kusambaa kwa picha ikimuonyesha wema akiwa faragha na mtarajiwa mume wake, basi Muna alionekana kuguswa na maneno mengi yaliyosambaa katika mitandao ya kijamii hivyo kaumua kumfariji kwa maneno yenye nguvu.

download latest music    

Katika ukurasa wake wa instagram, Muna aliandika “Ninachojua Mungu anakupenda sana na mkae kijua kuwa Mungu anakipenda kila kiumbe chake,  hata akosee vipi jua kuwa Mungu akienda sana tena sanaa,ukishakua kuwa Mungu anapenda kila kiumbe chake basi kaa ukijua kuwa ipo siku Mungu atatenda kwako, ninamwamnini sana Mungu na ipo siku ataenda muujiza wa kukujibu.

Wema na Muna waliwahi kuwa marafiki wakubwa na hata kufanya kazi pamoja lakini baadae urafiki wao ulishindikana na kugombana sana na kurushiana maneno na matuzi sana lakini mwisho wa siku kila mmoja amekuwa mwenye busara kwa yale yanayomkuta mwenzake.

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.