Nyumba ya Hamisa Yaleta Utata, Yasemekana ni ya Kupanga.

Inasemekana kuwa hiyo inaweza kuwa ni tabia ya msanii Diamond Platinumz kuwa na show-off kila anapofanya kitu na kuwaamisha watu kuwa kila anachokifanya  ni mali yake kumbe sio kweli, hii inaendelea kuonekana baada ya ku-trend sana katika mitandao ya kijamii kuhusu nyumba ambayo inasemekana kuwa ni nyumba ambayo Hamisa amenunuliwa na Diamond lakini habari za chini chini zinasema kuwa nyumba hiyo sio ya kununua ni ya kupanga.

katika moja ya kurasa za  instagram inayojulikana kama dalali kiongozi imeonyeshwa nyumba hiyo ilipokuwa katika matangaza ya kupangishwa hapo kipindi cha nyuma na hata kutajwa kiasi cha kupangishwa kwa nyumba hiyo.

download latest music    

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.