Papii Kocha Atangaza Kupata Mtoto.

Msanii wa muziki wa dansi papii kocha ametangaza katika ukurasa wake wa instagram kuwa siku ya leo amebahatika kupata mtoto wa kike .Papii kocha ambae kwa sasa ana zaidi ya mwaka mmoja uraiani baada ya kutoka jela alipokwekwa kwa kifungo cha maisha lakini alitolewa kwa msamaha wa rais.

Ikumbukwe kuwa kipindi papii anakwenda jela aliacha mke na mtoto mmoja wa kike, mtoto ambae mpoaka sasa ameshafikia umri wa utu uzima na kumkuta mke wake tayari alshaolewa na mwanaume mwingine.

download latest music    

Papii kocha atakuwa anatimiza idadi ya watoto wa wili wa kike ambae wa kwanza alimpata kabla hajakwenda gerezani, hatahivyo mama wa mtoto huyo bado hajuajulikana na hakutaka kumtangaza.

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.