Paul Clement Amkana Emmanuel Mbasha

Msanii wa nyimbo za injili Emmanule Mbasha mara nyingi amekuwa akionekana katika baadhi ya post zake akisema kuwa yeye ndio mleiz wa wasanii wote wanaoimba injili nchini Tanzania na hata kuna baadhi ya mambo amekuwa akitaka kuyabebeba majukumu akiwa kama mlezi wa nyimbo za injili.

Swali linakuja je , wasanii wanajua kuwa yeye ndio lezi wao wa nyimbo za injili, jibu tunalipata kwa wasanii wenyewe kuhusu kiongozi wao huyo.

download latest music    

Mwanahabari Hassan Ngoma alipata fursa ya kuuliza swal hilo msanii paul clement alipokuwa katika mahojiano asubui ndani ya 360 ya clouds media, na mwanainjili huyo alikata na kusea kuwa kwa upande wake yeye kiongozi wake sio Emmanuel Mbasha bali ni mchungaji wake.

Paul anasema”Mmmh hapana , mimi mlezi wangu wa injili ni mchungaji wangu

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.