Profesa Jay Kumtembela Lulu Gerezani

Mwanamuziki mkongwe wa bongo hip -hop ProfesaJay anasema kuwa siku yoyote kuanzia sasa yuko mbioni kwenda  kumtembelea msanii wa bongo movie lulu michael ambae ayupo gerezani akitumikia kifungo chake cha miaka miwili baada ya kukutwa na hatia ya kuua bila kukusudia.

                                                 

download latest music    

Profesa Jay anasema kuwa anaamini kabisa kuwa lulu ana mengi ya kuongea hivyo anatamani sana kuongea nae ili aweze kumwambia yalitopo moyon mwake na pia kumfariji kwa kila analopitia kwa sasa.

Ninatamani sana kuonana na lulu niweze kuzungumza nae,ninafahamu ana mengi ya kuzungumza na hivyo ninajipanga  na muda pia  na ikiwa tayari nitawafamisha ni lini ninakwenda kumuona.-  Alisema Profesa Jay ambae kwa sasa anafanya vizuri na kibao chake kipya cha Pagamisa alichomshirikisha Mr.T-Touch

 

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.