Ray C Aanika Majibu Yake Ya Ukimwi

Msanii mkongwe wa muziki wa Bongo fleva Rehema Chalamila maarufu kama Ray C ameamua kuanika majibu yake ya vipimo vya virusi vya Ukimwi alivyopima Hivi karibuni.

Ray C ambaye aliwahi kutamba na vibao vikali kama vile ‘Mapenzi matamu’ ‘Na wewe milele’ na vinginevyo ameweka wazi kuwa hana maambukizi ya virusi vya Ukimwi.

download latest music    

Hivi sasa Ray C anaishi nchini Uingereza Lakini yupo nchini Marekani kwa ajili ya kufanya shoo ameanika majibu hayo Kupitia ukurasa wake wa Instagram ambapo ameandika:

https://www.instagram.com/p/BuCLNW7gcFM/?utm_source=ig_share_sheet&igshid=1dyvttiuc54cz

About this writer:

Diana

I am a hard working young woman Aspiring writer with dreams larger than life itself, always living by the principle that live today like there is no tomorrow.