Rayvanny Afunguka Baada Ya Wimbo Wake na Diamond Kufungiwa na BASATA

Msanii wa muziki wa Bongo fleva kutoka katika label ya WCB Rayvanny amefunguka kwa Mara ya kwanza tangu wimbo wake wa ‘Mwanza’ aliomshirikisha Diamond Platnumz kufungiwa.

Siku ya jana Baraza la Sanaa Tanzania (BASATA) lilitangaza kuufungia wimbo huo kwa madai ya kukiuka maadili ya Kitanzania kutokana na maneno yaliyoimbwa kwenye nyimbo hiyo.

download latest music    

Rayvanny ameibuka na kulalamikia uamuzi huo wa BASATA na kusisitiza kuwa haikuwa maana yao kuimba matusi katika wimbo huo Bali ni Sanaa iliyotumika na kupelekea watu mawazo yao kufika huko.

Kupitia ukurasa wake wa Instagram, Rayvanny ameandika:

https://www.instagram.com/p/BqG9rwonTtl/?utm_source=ig_share_sheet&igshid=mo32cxhbwmsv

https://www.instagram.com/p/BqG-WAGHFKG/?utm_source=ig_share_sheet&igshid=109chbj8a1coh

About this writer:

Diana

I am a hard working young woman Aspiring writer with dreams larger than life itself, always living by the principle that live today like there is no tomorrow.