Rich Mavoko ku-perfom Wasafi Festival
Uongozi wa kundi la wcb ukiongozwa na msanii Diamond platinumz wamesema kuwa milango yote iko wazi kwa msanii Rich mavoko kufanya show katika show zao zinazozunguka kila mkoa kwa sasa hivi inayojulikana kama wasafi festival tour.
Akiongea bila kinyongo, babu tale anasema kuwa hawana kinyongo chochote na msanii Rich mavoko hata kama hapo katikati kulitokea kutokulewana lakini wanapoenda kufanya nae kazi lakini kuna mambo hayakwenda sawa tangu hapo awali hivyo haikuwa rahisi kumuweka katika listi lakini wanaahidi kumuwahi sana hapo mwakani .
Babu tale anasema kuwa kwa sababu rich mavoko alishafanya show za tigo fiesta hivyo karibia mikoa mingi anayopita kwa sasa alishapita hapo awali lakini kama wangemuwahi mapema basi ilikuwa haina haja ya kuancha kumuweka katika listi.
Babu takle anasema kuwa kwa mwaka huu acha ipite lakini kwa mwaka ujao tamasha hili litakuwa kubwa zaidi na litaongeza mikoa na pia wasanii wataongezea zaidi na watamuwahi Rich mavko.