Rosa Ree:Siwezi kufanya Kazi na Mtu Nisie-endana Nae.

Msanii wa muziki  wa kike wa Hip-Hop nchini Rosa Ree amesema kuwa kwa sasa  hawezi kufanya kazi na msanii yoyte ambae hawaendani nae kimuziki kwa sababu anapenda kufanya azi inayoeleweka na itakayowakonga mashabiki zake.

Rosa Ree ameyasema hayo baada ya kutoa wimbo wake unaojulikana kama marathoni ambao amemshirikisha billnass hivi karibuni na kukubali kuwa yeye na billnass wameweza kufanya kazi hiyo naikafanya vizuri kwa sababu kuna kitu cha kimuziki kinachowaunganisha na kuendana sana.

download latest music    

Bill nass kabisa nimshikaji wangu sana na nimoja ya wasanii wenye vibes sana,ni myu wangu wa karibu na tuna vibes  sana,as  a person yeye ni mtu poa sana.napenda sana watru ambao wapo Og,alafu kitu kingine ni kwamba siwei kufanya kazi namtu ambae sina vibes nae kabisa, mtu ambae hana positives vibes.

Rosa Ree na Billnas wametoa wimbo wao mpya hivi karibu na kuwafanya kuwa karibu zaidi, lakini kama ilivyo kawaida watu wengi wameanza kutilia mashaka uhusiano wa wawili hao lakini wao wameshakanusha taarifa hizo.

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.