Ruge Mutahaba Afariki Dunia

Mkurugenzi wa vipindi clouds tv na clouds radio Bwana Ruge mutahaba aliekuwa akipigania maisha yake huko nchini Afrika ya Kusini alipokuwa akipatiwa matibabu afariki Dunia jioni ya February 26.

Ruge ambae alikuwa akipigania sana maisha yake na hata kulikuwa kunaendelea kwa kampeni za kupata pesa kwa ajili ya matibabu yake , ameshindwa kuendelea kupigania maisha yake baada ya hali yake kuzidi kuwa mbaya .

download latest music    

Habari kamili kutoka kwa wanafamilia na watu wake zitatolewa hivi punde.

 

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.