Shamsa Ford afunguka kwa nini anatamani kuokoka lakini anashindwa

Muigizaji wa filamu za Bongo Shamsa Ford kwa Sasa anatamani sana kuzifuata nyayo za Mzee Yusuf kwa kuokoka na kuacha mambo ya dunia.

Mrembo huyu anadai kuwa siku za mwisho zimekaribia na ndio maana anaonelea kubadilisha mienendo Yale. Akizungumza na Risasi Jumamosi, Shamsa alisema kuwa,

download latest music    
Shamsa Ford

Nimejaribu kusali sala tano kila siku. Kuna wakati ninasahau lakini kuna siku ninasali zote, ninaamini taratibu nitakuwa kama Mzee Yusuf, ninamuomba sana Mungu.

About this writer:

Pauline Syombua

Content Developer IG: Kermbua