Shilole Afungukia Mipango Ya Kuzaa na Uchebe

Msanii wa muziki wa Bongo fleva Zuwena Mohamed maarufu kama Shilole amefunguka na kuwajibu watu ambao wamekuwa wakimteta kwa kuchelewa kwake kumzalia mtoto mumewe Uchebe waliyefunga ndoa mwaka jana.

Kwenye mahojiano aliyofanya na Gazeti la Dimba, Shilole amefunguka kuwa kushika ujauzito na kujifungua salama ni mipango ya Mwenyezi Mungu, hivyo hana haraka na hilo, kwani anaamini ni muda tu haujafika. ya Mwenyezi Mungu, hivyo hana haraka na hilo, kwani anaamini ni muda tu haujafika.

download latest music    

Nadhani kila kitu ni mipango ya Mungu, wakati ukifika kila kitu kitakuwa hadharani, kwani mimba ni pembe la ng’ombe halifichiki, alisema, Shilole“.

Shilole ameweka wazi kuwa kwa Hivi sasa yuko bize na shughuli zake za ujasiriamali, lakini wakati huo huo akiwa anaihudumia familia yake kama ilivyo kwa wanawake wengine.

About this writer:

Diana

I am a hard working young woman Aspiring writer with dreams larger than life itself, always living by the principle that live today like there is no tomorrow.