Sidangi , Sina Mazingira ya Kudanga :-Diana kimary

Mwanadada Diana Kimary ambae alitamba sana katika movies ya foolish age kipindi cha nyuma amefunguka na kusema kuwa watu wamekuwa wakishangaa na kumuambia kuwa amekuwa akidanga na ndio maana  maisha yake amekuwa mazuri kwa sasa lakini swala hilo sio kweli.

Diana anasema kuwa swala hilo sio kweli kwa sababu kwa malezi anayoishi nyumbani kwao ni vigumu sana kufanya hivyo kwa sababu ,malezi na mazingira ya kwao hayaruhusu kufanya hivyo hata kidogo.

download latest music    

Diana anasema “mimi sidangi kwa sababu sina mazingira ya  kunifanya niwezi kudanga, kwetu mimi ni mdogo kabisa”

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.