Siwezi Tangaza Harusi Yangu Kwenye Mitandao :-Lulu

Mwanadada Lulu michael ambae kwa fununu zilizokuwepo hapo awali ni kwamba mwanadada hiuyo alienda kufungia ndoa yake nchini China amefunguka na kusema kuwa hakutaka na wala hatotaka ndoa yake itangazwe katika mitandao ya kijamii kwa sababu hilo ni swala ambalo sio lazima kila mtu kulijua hilo.

Lulu ameyasema hayo alipokuwa aktika tour yake kwa ajili ya kuhamasisha uchangiaji wa vitu mbalimbali kwa ajili ya misaada atakayo itoa katika msimu huu wa valetine kwa watu wenye uhitaji katika jamii.

download latest music    

Lulu ambae pia aliwahi kusemwa kuwa mwanaume ambae anafunga nae ndoa amekuwa akimpiga na kumtesa sana kwa sababu ya pesa alikanusha taarifa hizo na kusema kuwa maisha yakeya nyumbani yatabaki kuwa hivyo na wala hana haja ya kusema katika mitandao.

Lulu anasema kuwa tetesi zoozte hazina ukweli kuhusu ndoa yake na michakato ya harusi bado inaendelea.

 

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.