Steve Nyerere Apangua Tuhuma za Kutabiri Kushuka kwa Ommy

Msanii Steve Nyerere amefunguka  baada ya kuandamwa sana katika mitandao ya kijamii kuhusu kauli yake ya kuwa  Ommy dimpoz hawezi kuimba tena kwa sababu ya upasuaji aliofanya nchi Afrika ya Kusini.

Msanii huyo ambae aliwahi kuojiwa akiwa kama moja ya watu wanaoshughulikia sana matatizo ya wasanii alisikika akisema kuwa Ommy hawezi tena kuimba kwa sababu koo lake halina tena uwezo huo kutokana na malazi  yanayomsumbua.

download latest music    

Hata hivyo msanii huyo amerudi kutoka katika matibabu hivi karibuni na kusema kuwa maneno hayo aliyasikia lakini anaamini kuwa hiyo ni moja ya changamoto anazop[itia kikubwa anamshukuru mungu kwa kuwa amefanya arudi tena katika kazi yake.

Hata hivyo steve anasema kuwa walimnukuu walinukuu vibaya kwa saabu yeye alisema kuwa Ommy hatoiweza kuimba kwa sasa mpaka pale atakapo-recover, kitu ambacho kiliibua hisia sana kwa mashabiki wa muziki nchini.

Hata hivyo msanii huyo pamoja na kutabiriwa mengi mabaya , bado ameweza kuimba tena .

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.