Tetema Ya Diamond na Rayvanny Yavunja Rekodi

Wimbo mpya unaofanya vizuri Hivi sasa ‘Tetema’ ulioimbwa na wasanii Diamond Platnumz na Rayvanny umevunja rekodi Mpya Baada ya kufikisha watazamaji milioni moja ndani ya mastaa 17.

Wanamuziki Diamond Platnumz na  Alikiba ni baadhi ya waliofanikiwa nyimbo zao kutazamwa mara milioni moja kwa muda wa masaa 24.  Mpaka wakati huu wimbo huo umetazamwa mara milioni 1.2.

download latest music    

Kupitia ukurasa wake wa Instagram, Diamond ameshukuru mashabiki zake kwa kuangalia wimbo huo mara milioni moja:

About this writer:

Diana

I am a hard working young woman Aspiring writer with dreams larger than life itself, always living by the principle that live today like there is no tomorrow.