TID akana kumpachika Recho mimba

Msanii wa Bongo TID anasemakana kuwa alimpachika msanii mwenzake Recho mimba lakini kulingana na mkongwe huyu wa muziki, amekana tetesi hizi.

Recho

TID akizungumza na kipindi cha Enewz cha EATV alisema kuwa hatarajii mtoto yeyote na Recho huku akiendelea kusemak kuwa kila mtu anataka kuwa na mimba yake. Alisema;

download latest music    

“Hapana, sitarajii mtoto yeyote na Rachel, sina mimba ya Recho, siyo kweli bwana, hamna mtu mwenye mimba wala nini. Kila mtu anataka kuwa na mimba ya Mnyama, sasa wanawake wangapi wanataka kuwa na ujauzito wa mtoto wangu?”,

Hata hivyo hivi karibuni wawili hao walisemekana kuwa ni wapenzi.

About this writer:

Pauline Syombua

Content Developer IG: Kermbua