Uongozi wa Airport Wajibu Tuhuma za Ray Kuibiwa Mizigo

Uongozi wa uwanja wa ndege  wa mwl julius kambarage nyerere wamejibu tuhuma za kuibiwa kwa msanii ray kigosi baada ya msanii huyu kulalamika sana kuwa aliibiwa mizigo yake baadhi akiwa uwanja wa ndege.

Uongozi wa uwanja wa ndege unasema kuwa mtu yoyote anapopata tatizo lolote ni vizuri zaidi kama watatoa taarifa moja kwa moja kwa uongozi na sio kuandika katika mitandao ya kijamii kama ambavyo wamekuwa wakifanya baadhi ya watu.

download latest music    

katika ukurasa wa insta wa msanii Ray kigosi aliandika ”

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.