Uwoya Adaiwa Kunasa Mimba ya Dogo Janja.

Ikiwa ni miezi kadha imepita tangu kufanyika kwa harusi ya mastaa wa bongo movies Irene Uwoya na star kutoka bongo fleva Dogo Janja , ndoa hiyo ambayo ilikuwa na walakini  na kusemekana kuwa ilikuwa ndoa ya kuigiza wakitaka kuweka kipande hicho katika tamthiliya mpya ambayo Irene anacheza inayojulikana kama Sarafu , imezaa matunda baada a wasanii hao kutegemea kupata mtoto hivi karibuni.

Akiongea na gazeti la GPL,moja ya mtoa habari na mtu wa karibu wa Irene Uwoya alisema kuwa  ndoa ya Irene na Janjaro ilikuwa sio ndoa kama watu walivyokuwa wanafikiria lakini wawili hao ni kweli walikuwa katika mahusiano  lakini hawakuta watu wajue hivyo hata mimba ambayo Uwoya anayo  wanafanya siri tu na hata Irene amekuwa akijificha nyumbani kwa rafiki yake Agnes Masogange.

download latest music    

ile ndoa ilikuwa ni ya kwenye tamthilia ya sarafu lakini pale bwana mdogo anapiga kweli lakini ilitakiwa iwe siri,na inavyosikia ni kuwa mdada huyo sasa hivi ni mjamzito.

Irene hakuwahi kutaka kufanya watu wajue kuwa alikuwa na mahusiano na Janjaro nandio maana muda wote alikuwa akikana kuwa hana uhusiano na Dogo lakini itakuja kujulikana tu licha ya kuwa Dogo yeye alishatangaza kumuoa Irene.

Hata baada ya kumtafta kwa muda mrefu waliamua kumuliza mtoa taarifa huyo kuhusu upatikanaji wa irene uwoya na mtoa taarifa huyo akasema kuwa mara nyigi amekuwa akishinda kwa agnes masogange .”Ebu jaribuni kwa masogange maana nasikia ndio kajificha huko” .

Waandishi wa habari waliamua kumfatilia irene kwa agnes na walipofika walikaribishwa na mfanyakazi wa ndani,walipouliza uwepo wa irene dada huyo alijibu kuwa yupo lakini laipoend ndani kumuita alirudi na kusema amelala.

 

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.