Vanessa Mdee Amfariji Maua Sama “Usijali Utatoka Tu”.

Staa wa Muziki wa Bongo fleva Vanessa Mdee amefunguki ishu ya Msanii mwenzake Maua Sama kuwekwa Ndani kwa siku tano mfululizo bila ya dhamana.

Maua Sama anewekwa  ndani tangu siku ya Jumapili mpaka leo hajapata dhamana baada ya kuonekana kwenye video clips akiwa anakanyaga  pesa huku akicheza wimbo wake wa ‘Iokote’.

download latest music    

Vanessa ameibuka n kumtaka Maua kuwa mjasiri na kumtaka kuwa mvumilivu kwani siku si nyingi atatoka na akisha toka watacheka na kusahau yote yaliyotokea.

Kupitia ukurasa wake wa Instagram Vanessa Mdee kamuandikia ujumbe huu:

https://www.instagram.com/p/Bn8Tpg3CHhO/?utm_source=ig_share_sheet&igshid=rtlm6iay8rzk

About this writer:

Diana

I am a hard working young woman Aspiring writer with dreams larger than life itself, always living by the principle that live today like there is no tomorrow.