Vannesa Mdee Aamua Kujipongeza Mwenyewe.

Mwanadada Vanesa Mdee amechoka kuvumilia na kusubiri sifa kutoka kwa watu wengine na kuamua kujipongeza mwenyewe kwa jitihada kubwa ambazo amekuwa akizinyesha na kupenyeza muziki wake kimataifa zaidi,

Vannesa anasema kuwa anajipongeza mwenyewe kwa sababu yeye ndie msanii pekee aArika Mashariki lakini msichana pekee wa Afrika kusaini deal kubwa Duniani lenye utafauti na madeal yote waliyowahi kusainiwa na wasanii mbalimbali.

download latest music    

Najipongeza mwenyewe kuwa msanii  pekee wa kike tanzania actually msanii pekee wa Tanzania na East Afrika kupata deal kubwa na yenye utofauti  na wengine .Ninafuraha sana kukutana na ma-director  wakubwa wa Universal , pamoja na kutumbuiza katika  ufunguzi wa afroforce …hii sio ndogo kwangu na hata kwa mashabiki zangu pamoja na watanzania kwa ujumla.

Wikiend hii zilisambaa picha nyingi za vannesa zikimuonyesha akiwa jukwaani ambapo alikuwa moja kati ya wasanii wakubwa walioimba katika tamasha la uzinduzi wa afro force

 

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.