Vera Sidika Avunja Penzi Lake na Otile Brown

Socialite maarufu kutoka Kenya mwanadada Vera Sidika amefunguka na kuweka wazi kuwa ameamua Kuvunja Mahusiano Yake na aliyekuwa mpenzi wake Msanii wa muziki Otile Brown.

Vera ambaye amekuwa Kwenye Mahusiano na Otile kwa Miezi kadhaa ameweka wazi kuwa ameamua kuachana na mpenzi wake huyo kwa sababu aligundua alikuwa hampendi.

download latest music    

Vera ameandika kuwa Otile alimpenda kwa ajili ya umaarufu na hakuwa na mapenzi ya kweli kwake bali alimtumia kwa ajili ya kukuza idadi ya mashabiki zake.

Vera amefunguka hayo kupitia ukurasa wake wa Instagram:

https://www.instagram.com/p/Bmk3NAqgb1G/?utm_source=ig_share_sheet&igshid=myiyclwvhz5h

 

https://www.instagram.com/p/Bmk3S6IAniJ/?utm_source=ig_share_sheet&igshid=kikmqughw3ww

About this writer:

Diana

I am a hard working young woman Aspiring writer with dreams larger than life itself, always living by the principle that live today like there is no tomorrow.