Wakazi Amhoji Steve Nyerere Kama ni Msanii Au Mwanasiasa

Msanii wa muziki wa Bongo fleva Wakazi Music amemjia juu msanii wa Bongo fleva na mwanaharakati wa mambo ya siasa Steve Nyerere kutokana na kauli alizotoa.

Sakata hilo limetokea siku chache zilizopita baada ya Mkuu wa mkoa wa Dar Es Salaam Paul Makonda kuanika wasanii katika mkutano Wake na wasanii wachache kujitokeza.

download latest music    

Wasanii wengi waliweka wazi kuwa hawakuenda kwenye mkutano huo kutoka na kwamba hawakupata mwaliko rasmi zaidi ya kuona matangazo kwenye Mitandao ya kijamii.

Stevw Nyerere ambaye alikuwa mratibu wa Shughuli hiyo amewajia juu wasanii ambao Hawakufika kwenye mkutano huo Mpaka kufikia hatua ya Kuwaita Madodoki.

Wakazi amemjia juu Steve Nyerere kwa kauli yake hiyo na kupitia ukurasa wake wa Instagram ameandika maneno haya:

https://www.instagram.com/p/BtYAjLZFFpb/?utm_source=ig_share_sheet&igshid=17yqbv5ow4sx6

About this writer:

Diana

I am a hard working young woman Aspiring writer with dreams larger than life itself, always living by the principle that live today like there is no tomorrow.