Wasanii Wakongwe Wakataa Kuitwa “Legends’

Kumekuwa na ile heshima wanayoitoa baadhi ya wasanii wachanga kwa wasanii waliotangulia kwa kuwaia ma-legends  ikiwa kama njia ya kuonyesha kuwa wanamchnago mkubwa sana katika tasnia ya muziki ukizingatia muziki ulivyo sasa sio kama ulivyokuwa miaka ya nyuma.

Lakini hii inapokelewa tofauti nan wasanii wenyewe kwa sababu sio wote wanaotaka kuitwa hivyo lakini pia sababu yao kubwa ikiwa kuna sifa bza msanii kuitwa legends na sio wanaitwa tu kwa sababu yeye amekaa katika game kwa muda mrefu kuliko wengine.

download latest music    

Nikki Mbishi alishawahi kusema “wasanii weng wa tanzania wanaoitwa legends hawana hata miaka 40 katika game,ila wanaitwa hivyo ili kuzeeshwa na kujiona kuwa hawana kasi yakuendana na watoto wa 98′, sasa kama Dully sykes mkongwe na R.kelly je:

Siku kadhaa kupita , msanii wakazi pia alisema kuwa wasanii wakongwe wanakuwa na tabia ya kwenda katika media kuomba msaada li kusimamaisha muziki wao huku akisema “kama nyie mkilia je wale wasanii wachanga (who look up to you) na hawajawahi kutoka wafanyaje, ebu jaribuni kuwa greatful  for glorious past nad cherish it”

Hata hivyo Tid nae alifunguka na kusema kuwa wasanii wa zamani kidogo wamekuwa wakiitwa wakongwe ili tu ku-step down kutaka kudai maslahi yao huku wakipewa jina la kuwa wakongwe ili kuachana na hai zaoza msingi , Tid anasema”

“legends ni mtu mwenye miaka kuanzia 50 katika game,mimi unaniita legends gani wakati nimeanza muziki miaka 19 tu iliyopita, hata miaka 40 sijafikisha unaniita hivyo, sisi ndio tunatakiwa tule matunda ya muziki,huko ni kutoka kwenye line tu na kuwaweka watu wao kwa sababu sisis tunawadai na wanatuzulumu sana.so diamond was me lakini wakasema wanamleta diamond ili tukushushe.

lakini pia hata Jay Dee aliwahi kuwpasha watu katika mtandao wa Twitter kwa kuandika”mnikome , mkongwe ni Bi Chuka na Khadija Kopa tea mnikome kabisa mimi bado mbichi.”

 

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.