Wema Afunguka Tetesi Za Kufaidi Penzi la Dogo Janja

Muigizaji wa Bongo movie Mrembo Wema Sepetu amefunguka na kuongelea skendo nzito inayomuandama hivi sasa ya kufaidi Penzi la Msanii wa Bongo fleva Dogo Janja.

Siku ya jana Mange Kimambi alidai kuwa  Wema  na Dogo Janja walikutana mkoani Arusha ambapo walikuwa nyumbani kwa rafiki yao lakini mambo yaliwazidi na kujikuta wanafanya yao.

download latest music    

Wema ameibuka kukataa tetesi hizo na kumtuhumu Mange kwa kusambaza taarifa ambazo hazina ukweli wowote.

Kupitia ukurasa wake wa Instagram, Wema ameandika maneno haya:

Wema amekana tetesi hizo na kumuanika mwanaume mwingine ambaye amedai atakuwa mume wake mtarajiwa.

About this writer:

Diana

I am a hard working young woman Aspiring writer with dreams larger than life itself, always living by the principle that live today like there is no tomorrow.