Wema Akanusha Kukatwa Utumbo

Mwanadada Wema sepetu amefunguka na kukanusha taarifa zinazosambaa siku nyingi katika mitandao ya kijamii na kusema kuwa alikwenda nje ya nchi kwa ajili ya kuata utmbo ili kupunguza unene na uzito.

Hata hivyo maneno hayo yanakuja baada ya mwana dada wema sepetu kuoneana alipungua mwili kila siku kiasi kwamba mashabiki zae wamekuwa wakipata wasiwasi na afya yamsanii wao.

download latest music    

Wema anasema kuwa kitu kikubwa kilichomfanya kwenda nje ni kwa ajili ya kuangaika swala lake la kupata mtoto na hata alipoenda huku aliambiwa kuwa anatakiwa kupunguza mafuta ili aweze kupata  mtoto kwa sababu mara nyingi hata mafuta usababisha kukosa kupata mimba.

Wema anasema kuwa kinachomfanya akonde kila siku ni stress za hapa na pale lakini pia amekuwa akinywa dawa ambazo zinamsaidia kupunguza uzito  na kupunguza mafuta pia.

Utumbo wangu mimi sijawahi kukataam wala kupunguza, nilivyosafiri na kwenda India, nilienda kwa sababu ya tumbo langu lakini niliambiwa kuwa mara nyingi kukosa mtoto husababishwa na Mafuta.Hivyo nilipewa vidonge kwa ajili ya kupunguza mwili na mafuta.

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.