Wema ni Mzuri na Ana Umbo la Asili:-Neema Ndepanya

Mwanadada Neema Ndepanya ambae ni moa ya wasanii wa bongo movies lakini pia menea wa mwanadada wema sepetu amefunguka na kumtetea Wema Sepetu kwa kusema kuwa watu wamekuwa wakimzushia Wema kuwa ana fake umbile lake lakini hiyo sio kweli kwa sababu wema ni mzuri na ana umbile la asili.

Hayo yote yanakuja baada ya mwanadada Wema Sepetu kusemekana kuwa alikwenda ne na tetesi zikidai kuwa ni kutokana na kuwa na umbile kubwa lenye manyama uzembe mengi yaliyomchosha hivyo alikwenda nje kwa ajili ya kufanya upasuaji ili kupunguza mwili huo.

download latest music    

Meneja huyo alikanusha safri hiyo ya Wema na kusema kuwa alikwenda kufanya check -up ya mwili wake na sio vinginevyo.

Wema ana umbile la asili hawezi kwenda kokote kutengeneza umbile lake,wema ni mzuri na ndivyo alivyo zaliwa kwaio kama ku-maintain atamaintaini tu kwa kufanya mazoezi na vitu vingine, lakini nje alikwenda kufanya mazoezi kwa ajili ya afya yake tu.

 

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.