Young Dee Aibukia Kwenye Gospel.

Mwanamuziki David Genzi maarufu kama Young Dee amefunguka na kuelezea ujio wake mpya wa nyibo yenye maadhi ya injili, wimbo ambao ameimba kwa ajili ya kumshukuru mungu kwa mambo aliyomtendea mpaka hapo alipofikia.

Young Dee anasema kuwa wimbo huo ambao atamuweka msanii mwenzake Ben pol utakuwa moja ya nyimbo za kusisimua kwa sababu uatkuwa na hadithi ya maisha yake halisi na mafanikio na mapito yake kwa ujumla.

download latest music    

Katika ukurasa wake wa instagram, Young dee aliandika stori ya mtu aliyeumwa kwa masaa manenane tu  lakini kutumia gharama ya zaidi ya milion 14 kwa ajili ya matibabu, hata hivyo anasema kuwa pamoja na yote mtu huyo alijua kuwa kama sio mungu basi wala pesa zake zisingekuwa kitu , hivyo kwa historia hiyo fupi aliyoiweka young dee katka ukurasa wake, mwishoni alimalizia kwa kusema

hapa mimi nawaza kuandika wimbo wa kumsifu mungu muweza wa yote,,aisee #amgrateful  ,,,oii @benpol niandalie chorus baller

Wasanii wengi sasa wameanza kutumia style hii ya kuingia katika muziki wa injili ya kufaya vitu tofauti ambavyo pamoja na kwamba wanamshukuru Mungu lakini pia inaleta radha mpya kwa mashabiki.

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.