Huu ndio ujumbe Alikiba aliomwandikia binti yake kusheherekea siku yake ya kuzaliwa

Alikiba ameonekana kuwa baba aliyenafuraha baada ya binti yake kusheherekea siku yake ya kuzaliwa hivi juzi. Baba huyu ambaye amekuwa akiwaeka watoto wake kipaumbele hakusita kuzipost picha za mwanae huku akimuandika ujumbe wa kupendeza.

Ingawa ni star mkubwa Tanzania, Alikiba huwa anapenda kuwaeka watoto wake off social media na anapowapost yeye huwa akisheherekea siku zake za kuzaliwa.

Mwaka huu inaonekana akumfanyie binti yake birthday kubwa kama ya mwaka uliopita. Hata hivyo haimaniishi kuwa upendo wake kwake umepungua. Muimbaji huyu siku hizi anaonekana kuwa mtu anayeshughuli mingi na career yake ambayo inaonyesha matumaini ya kugrow.

Kupitia mtandao wake wa kijamii wa Instagram, king Kiba aliandika kusema…

Happy Birthday My Princess ? nitakupenda siku zote ❤️ @Amiyakiba #SupportedByKiba #KingKiba

Binti ya Alikiba
Binti ya Alikiba