Mirror- Sipo Chini Ya Wema Lakini Nampenda Sana

Staa wa Bongo fleva Mirror aliyetamba na nyimbo zake kali kama Baby na One and Only ametangaza rasmi kurudi kwenye gemu.

Mirror alijizolea umaarufu baada ya kusainiwa chini ya Endless Fame ya mwanadada wa Bongo movie Wema Sepetu.

Baada ya kimya kirefu Mirror ameifungukia Millard ayo Tv na kuweka wazi kuwa alikuwa amepata ajali kubwa ya gari lakini hivi sasa anaendelea vizuri na yupo tayari kurudi kwenye gemu.

Mirror ameweka wazi kuwa kwa hivi sasa amefanikiwa kupata management mpya ambayo ndiyo itakayohusika na kusimamia kazi zake na mara tu mwezi mtukufu utakapoisha basi staa chia Rasmi wimbo wake mpya.

Lakini pia Mirror amekana tetesi zote zilizosambaa kuwa amegombana na Wema Sepetu na Petit Man na kusema hana ugomvi na Wema na anampenda kama Mama yake na hata hivisasa akitaka ushauri kuhusu kazi zake basi anamtafuta Wema na Petit.

Mirror- Sipo Chini Ya Wema Lakini Nampenda Sana

Staa wa Bongo fleva Mirror aliyetamba na nyimbo zake kali kama Baby na One and Only ametangaza rasmi kurudi kwenye gemu.

Mirror alijizolea umaarufu baada ya kusainiwa chini ya Endless Fame ya mwanadada wa Bongo movie Wema Sepetu.

Baada ya kimya kirefu Mirror ameifungukia Millard ayo Tv na kuweka wazi kuwa alikuwa amepata ajali kubwa ya gari lakini hivi sasa anaendelea vizuri na yupo tayari kurudi kwenye gemu.

Mirror ameweka wazi kuwa kwa hivi sasa amefanikiwa kupata management mpya ambayo ndiyo itakayohusika na kusimamia kazi zake na mara tu mwezi mtukufu utakapoisha basi staa chia Rasmi wimbo wake mpya.

Lakini pia Mirror amekana tetesi zote zilizosambaa kuwa amegombana na Wema Sepetu na Petit Man na kusema hana ugomvi na Wema na anampenda kama Mama yake na hata hivisasa akitaka ushauri kuhusu kazi zake basi anamtafuta Wema na Petit.

Huu ndio ujumbe mirror aliutoa kwa Wema Sepetu baada ripoti kutokea kwamba Wema alimtenga alipopata ajali

Leo katika show ya U heard ya clouds FM, Saudi Brown alibahatika kuongea na mirror ambaye anaendelea kupona kutokana na ajali aliyoipata ya gari.

Mirror anayedaiwa kutelekezwa na Management yake wakati anajiuguza hadi kupona kutokana na kupata ajali ya gari na alizungumzia hiyo ishu mara ya kwanza.

wema sepetu

“Hamna, mimi sina matatizo na mtu, Madam sina tatizo naye hakuwahi kuja kunitembelea nyumbani sijajua labda yupo busy na kazi zake ila sina tatizo naye japo kuna wasanii kibao wamekuja kunitembelea. Watu wengi sana, ila sina noma na mtu yoyote” – Mirror.