Vanessa Mdee aandikiwa ujumbe huu na Juma Jux

Hata baada ya kuachana na Vanessa Mdee, msanii kutoka bongo Juma Jux ameonekana kuwa bado na hisia za kumpenda mremboh huyu.

Hivi karibuni kupitia mtandao wake wa kijamii, Jux aliandika ujumbe ambao umewaacha mashabiki wakifikiria kuwa ujumbe huo ulikuwa wa Vanessa Mdee.

Aliandika kusema;

Nakumbuka mara ya mwisho kufanya party ya Birthday yangu ilikuwa 2013, Miaka minne iliyopita. Sikuwahi kufanya party yoyote tena sababu nilikuwa na rafiki, mpenzi na mtu wa karibu kuliko mtu yoyote kwenye maisha yangu. Miaka yote iliyofata nilikuwa na yeye mpaka sasa atuko tena karibu kama mwanzo, Tumebaki kuwa marafiki wa kawaida tu. Uwepo wake tu ulikuwa ni zaidi ya chochote kwenye siku yangu ya kuzaliwa, Kuongea na yeye au txt yake tu ilitosha kukamilisha siku yangu. Ila sasa sidhani kama itakuwa kama mwanzo. Nitafarijika sana kama nitamuona hiyo siku. This time nataka kuparty na watu wangu nani anataka kuparty na mimi katika siku ya birthday yangu ?

Juma Jux afunguka kuhusu suala la kujiunga na Wasafi Records

Jux  ambaye ni msanii mkubwa bongo anaonekana kufanya vyema na wimbo wake mpya utaniua.

Hatah ivyo akizungumza na Planet Bongo ya EA Radio msanii huyo alisema kuwa Wasafi record ni label nzuri lakini hajawahi kufikirikia kujiunga na label hiyo.

Ni kitu kizuri sio kibaya kwa sababu ile ni record label, hiyo nafasi ikipatika sio mbaya lakini kwa mimi sikuwahi kufikiria kwa hapa Tanzania au kwa Africa kwa kweli.

Hata hivyo yeye binafsi hana shida yoyote ya kujiunga na label hiyo iwapo watazingatia mkataba wake kwa sababu hafanyi muziki peke yake.

Iwe ni kampuni au sehemu ambayo itanichukua mimi kama kunimeneji pale nilipokuwa wafanye vitu extra zaidi. Sawa wanaweza ikawa wanaweza kwa mkataba kama watakuja na mkataba ambao nitautaka na vitu vyangu ambavyo navihitaji naweza nikasaini kwa sababu mimi ni mfanyabiashara lakini kwa sasa hivi hatukuwahi kuongea au kufikiria.

Mpenzi wa Vanessa Mdee amwadikia ujumbe huu kumsheherekea siku ya kuzaliwa

Msanii wa Bongo Juma Jux amewaacha wengi wakiulizana maswali baada ya kumuandikia mpenzi wake Vanessa Mdee ujumbe wa kufurahisha roho kumsheherekea siku yake ya kuzaliwa.

Ujumbe huu umekuja wakati ambao mashabiki wengi walidhani kuwa wawili hao waliluwa wameachana. Kwa kufanya hivyo Juma Jux amedhibitisha kuwa mapenzi yake kwa Vanessa bado yako na kutupilia mbali fununu hizo.

Jux aliandika kusema,

Happy birthday ?#eastafricanqueen @vanessamdee more life n God bless you mama #bestfemaleartist #moneymondays,”