East Africa Journalists don’t support our music – Harmonize screams

Singer Harmonize has come out to bash journalists in East Africa saying they don’t support the region’s music.

Speaking in an interview, Harmonize attacked journalists for sidling artists from East Africa while they are quick to support artists from other regions.

“Katika kitu kinachorudisha chini muziki wetu na tena kwa kasi sana, Ni ugomvi baina ya Media kwa Media. Kwa sababu sasa hivi msanii kabla hajatoka anawaza niende upande gani? akienda huku atabaniwa, Akienda huku atabaniwa. Kuna wasanii wengi wazuri wametoka lakini wanaishi mazingira magumu sana, inatakiwa tukae chini na tuyamalize,” he said.

Same things

harmonize

Harmonize went on to add that they are very many talented artists but the media only wants to speak to a few.

Nakupa mfano ulio hai kuna mtu anaitwa Whozu, Ana kipaji na ametoka lakini yupo katikati anawaza aende wapi?.. Achana na Whozu tu kuna mtu Marioo pia ana kipaji lakini ni watu walio kwenye wakati mgumu.

Watu kama hawawezi kuja kukwambia ila mimi msanii na wale wasanii wenzangu najua wakati walionao. Natamani sana kuona Media zinafanya kazi kwa pamoja, Inawezekana kabisa msanii wa Tanzania au Kenya akajaza ukumbi London kama wasanii wa Nigeria wanavyofanya kwa sababu tuna nafasi kubwa na tunatumia kiswahili. Lakini hatuwezi kwa sababu sisi wenyewe tunavutana huku chini.

https://youtu.be/kkGEi_WrJEQ

 

Harmonize is not joining politics, Singer clarifies

Singer Harmonize has come out to shoot down allegations that he’s thinking about joining politics in the near future.

Word had it that the popular singer ditched Diamond Wasafi Records because he has started his own label and will then move to politics after that.

But in an interview with global publishers, Harmonize said those were just baseless rumors and he’s not interested at all in politics.

“In short, I do not think of venturing into politics. Instead, I want to take our music to greater heights. My dream is to take our music international. That is where I put all my energy. I will do anything and everything for music and nothing else, not even politics,” he said.

Village

Harmonize on follow me

Though the singer has been helping a lot in his hometown in Mahuta village, Tandahimba in Mtwara and guys have been requesting him to run, Harmonize seems not yet interested.

Harmonize honored by YouTube for hitting one million followers 

Singer Harmonize has joined the elusive million followers club on Youtube.

The Tanzanian, who has a following of 3.8 Million followers on Instagram, hundreds of thousands of followers on Twitter and close to 200K likes on Facebook, was honoured by Youtube with the Gold Creator Award for hitting 1 million subscribers.

Taking to social media, Harmonize looked more than excited for the award saying that he’s among the big four now.

Daaaah….!!! Mungu Mkubwa Sanaa….!! Eti Namimi Leo Nimeingia Katika Record Ya Wasanii (4) Africa Wenye Hii Tuzo Ya One Million Subscribers, Wanasema Kwa Hapa East Africa Ni Kaka Yangu…!! Boss Wangu…!! my role model…!!!! #Simba….!!!!! @diamondplatnumz you mede it again bro I will never disappoint you …!!!!! #SIMBA Then #yemialadeKisha #davidoofficial Na Kisha #JESHISpecial thanks to my fans all over the world many more coming ….!!!!! #KONDEBOY4EVERYBODY #WCB4LIFE@youtube,” wrote Harmonize.

Online polls: Fans react after Diamond is compared to Harmonize

Tanzania´s Mange Kimambi queried fans who beats who at their game between Diamond Platinumz and Harmonize and fans loudly articulate Diamond is unbeatable.

Question is set:

Tuseme ukweli nani mkali kwa sasa?

https://www.instagram.com/p/Bx9MC6VALMz/

Feedback

Fans flocked her social media page expressing how Diamond´s presence in Harmonize´s life has been a life changer:

Sasa harmonize wimbo gani alioimba ukahit sana iisipokua alizomshirikisha diamond….. harmonize mshindishe na Alikiba si diamond

 

@mangekimambiiii_ maoni tu wala sijapanic bt harmonize bila diamond walai tena usingemsikia

 

Mond

 

Hata siku moja uwez mfananixha Mond na Kondeboy Mond ni

 

Mondi

Nazi haiwez shindana na jiwe…..umepanic eeeeee,,#relax

Mange´s haters were not asleep either:
We nawe hnaga akili
samtime kimambi uwage nauelewa dg diamond na harmonz jilinganishe ww na zar na mkali????????
Unachokitafta na kukiwaza huwez fanikiwa , utafeli
Well, for Harmonize´s fans:
Harmonize bonge la msaniiiiiiii????????
Konde boy
It is pretty evident that Harmonize´s and Diamond Platinumz´ music have been hit after another with the two having worked on the popular ´Tetema´ anthem together.

Kwangaru, Kainama, Bado are songs the two will be remembered with.