Mwanadada prety kindy ambae ni msanii wa bongo fleva amefunguka na kusema kuwa kwa anavyoona yeye , Alikiba sio staa wala msanii kama diamond lakini ni umaarufu tu ndio unamsaidia kuuza kazi zake za muziki.
Pretty kindy ameyasema hayo huko akitoa sababu kuwa hata huko nje ya ncini, wasanii kama diamond wamekuwa wakipendwa na kujulikana sana kiasi kwamba mt anaweza kusikia nyimbo yake moja na akaamua kwenda you tube kutafuta nyingine kutokana na ufundi aliousikia katika nyimbo moja kama kwa msanii Diamond lakini sio Alikiba,.
Pretty kindy anasema kuwa uwezi kumfananisha Alikiba na Diamond kwa kujulikana na kupendwa duniania , alkini pia anasema kuwa alikiba ujikuta anaweza kila kitu na kuvimba ndio maana watu hawamjui.
Alikiba ni msanii maarufu wala sio staa, mimi nimekaa nje kwaio nimekuwa nikiona watu wanavyomfatilia diamond na kufatilia nyimbo zake lakini watu hawamjui kiba.wakati mwingine huwezi kujua ni wapi mtu anakosea lakini kwa Alikiba naona kama anatabia ya kuvimba na kujiona amemaliza kila kitu.