Wema Sepetu amsifu Martin Kadinda katika ujumbe alioamwandikia kusheherekea siku yake ya kuzaliwa

Aliyekuwa manager wa Wema Sepetu, Martin Kadinda hivi leo amesherekea siku yake ya kuzaliwa na kama kawaida marafiki wake wa dhati wamekuwa wakimpost kwenye Instagram huku wakimsherekea leo.

Wema Sepetu ni mmoja wa marafiki waliompost Martin Kadinda. Katika ujumbe wake, Wema Sepetu alimsifu Martin na kumfungulia roho katika ujumbe wake uliowaacha mashabiki na tabasamu. Aliandika kusema,

Wema sepetu akiwa na Martin Kadinda

The World Knows How I feel about You… I have nothing more to add to dat… I love you more everyday than yesterday… (Mi nakupenda Leo kuliko Jana, ?) Happy Birthday wa kwangu mimi apa…. Wa Sunny, Wa Sunshine, Kaka manager wa kwanza kabisa duniani… Yaani hapa natafuta maneno mapya mapya ambayo sijawahi kukwambia ila najikuta nakosa maana yote nishamalizaga… Basi wacha niache kutype….

Wawili hawa wamekuwa marafiki kwa miaka mingi na ata baada ya Martin kuanza biashara zake, bado wako pamoja kama ndugu na dada.

Willy Paul akutana na role model wake, Diamond Platnumz

Hivi sasa msanii wa nyimbo za injili Willy Paul yuko Tanzania wiki hii kwaajili ya ziara ya vyombo wake mpya ‘I do’ aliomshirikisha msanii wa Jamaica, Alaine.

Kupitia mitandao wake wa Instagram Willy Paul alisema kuwa yuko Tanzania kupromote wimbo huu kupitia vyombo maharufu vya Tanzania. Leo asubui aliweza kufika katika kituo cha clouds tv 360 amabapo aliweza kuzungumzia kuhusu wimbo wake mpya.

Soma: Hatimaye Ray C akutana na Rayvanny na Diamond Platnumz
Kupitia mitandao yake ya kijamii Willy Paul alindika kusema,

Tanzania clouds tv 360.. I’m almost love… tune in to clouds tv and see ur favorite boy.. Willy paul.. #Ido song promotion

Hata hivyo, si mashibiki wengi walifurahia anachokifanya Willy Paul kama msanii anayejitambua kama mwimbaji wa nyimbo za injili. Wengi waliwacha comments wakimsihi achangue msimamo kati ya gospel na injili.

Wengi wa mashibiki walisema kuwa Willy Paul Msafi anajificha katika gospel music kutengeza pesa ilhali anajichanganya na wasanii wanaoimba muziki wa kidunia kuonesha kuwa nia yake si safi.