Mwanamuziki Enock Bela amejikuta akimtolea povu msanii mwenzake Beka Flavour na kudai kuwa msanii huyo hawezi kumsaiida kitu chochote kwa sababu wote wapo katika level moja hivyo hana uwezo huo.
Enock anasema kuwa hata akiangalia haoni msaada gani beka anaweza kumpa kwa kumsaidia kama ambavyo amekuwa akijinadi katika interviews kuhusu swala la yeye kumsaidia msanii mwenzake zaidi anaona kama vile anatafuta kiki.
simshangai beka kuzngumza hivyo maana naona kama vile na yeye anatafuta ugali tu,sidhani kama anaweza kunipa msaada mkubwa wowte katika muziki ili niweze ku-survive kama anavyosema kwa sababu mimi na yeye tunalingana.Vitu vingine watu wapo kwa ajili ya kujitafutia faida tu na kuongea mambo mabayo hayawezi kufanyika.
Enock pia anasema kuwa hakuna ukweli owowte kuwa amefulia kwa sababu anangoma nyingi sana zaidi ya album ambazo ataanza kuzitoa hivi karibuni.Enock anasema hawezi kuacha mufanya muziki wa kwa sababu muziki ndio maisha yake.